Vyombo vya Habari nchini Tanzania vimepigwa marufuku kutangaza ushuhuda unaotolewa mbele ya tume inayochunguza ghasia za wakati wa uchaguzi Oktoba 2025. Hata hivyo uamuzi huo umepokewa kwa mtazamo tofauti na wadau wa masuala ya Habari na wa afya ya akili Tanzania.