1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tundu Lissu afikishwa mahakamani kwa mara ya pili

03:48

This browser does not support the video element.

2 Juni 2025

Mwenyekiti wa chama cha chadema Tundu Lissu leo amefikishwa mahakamani kwa mara nyengine kujibu mashtaka yanayomkabili ya uhaini na uchochezi katika mahakama ya Tanzania huku shauri Hilo likiendeshwa moja kwa moja mtandaooni ili kukidhi mahitaji ya watu wengi wanaofatilia mashtaka hayo.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki

Zaidi kutoka kipindi hiki

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW