1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tundu Lissu ayapinga matokeo

02:36

This browser does not support the video element.

30 Oktoba 2020

Mgombea wa urais wa kwa tiketi ya chama cha upinzani cha CHADEMA nchini Tanzania Tundu Antipas Lissu amekosoa utaratibu wa upigaji kura nchini humo na kudai kuwa uchaguzi huo umekosa. Hata hivyo mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi amekanusha vikali shutuma hizo. Video na Yakub Talib

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW