1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tunisia yaizima ndoto ya Madagascar katika robo fainali, AFCON

01:33

This browser does not support the video element.

12 Julai 2019

Tunisia wamefuzu kuingia nusu fainali ya michuano ya kuwania kombe la mataia ya Afrika baada ya kuinyuka Madagascar mabao 3-0. Hata hivyo mashabiki wa Madagascar wamesema hawajakata tamaa, kwani hii ni mara yao ya kwanza kushiriki na wamefurahishwa na hatua ambayo timu yao imepiga.