1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Tusitengwe kwa meno yetu: Wakazi wa Sake DRC

02:33

This browser does not support the video element.

6 Septemba 2023

Wakazi wa mji wa Sake huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wataka wasitengwe kutokana na muonekana wa meno yao na badala yake wanataka tiba ili kujilinda na athari za maji yenye madini ya floridi ambayo yanafanya meno kuwa na rangi ya njano. Zaidi tazama vidio ya Ruth Alonga kutoka Goma

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW