1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uchaguzi wa baraza la seneti wafanyika leo Burundi

Josephat Nyiro Charo28 Julai 2010

Vyama vya upinzani havijabanduka ktuoaka msimamo wake wa kugomea chaguzi kwa madai kwamba serikali inafanya mizengwe katika chaguzi

Rais wa Burundi, Pierre NkurunzizaPicha: AP

Uchaguzi wa seneti unafanyika leo nchini Burundi, licha ya vyama vya upinzani vikiususia huku vikilalamika juu ya udanganyifu kutoka kwa serikali. Hapo jana tume ya uchaguzi nchini humo ilitangaza kwamba chama tawala cha rais wa sasa Pierre Nkurunziza, CNDD-FDD kilishinda kwa wingi wa kura uchaguzi uliokamilika wa ubunge. Chama hicho kilijinyakulia viti 81 kati ya 106 bungeni.

Mwandishi wetu Hamida Issa ameandaa taarifa ifuatayo.

Mwandishi, Peter Moss

Mhariri, Josephat Charo

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW