1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uchaguzi wa mbunge wasitishwa Zanzibar

Sudi Mnette25 Oktoba 2015

Uchaguzi wa ubunge katika moja ya vituo visiwani Zanzibar umesimamishwa kutokana na kukosekana na karatasi za kupigia kura. Salma Saidi kutoka visiwani humo amezungumza na wadau mbalimbali kufuatia tatizo hilo.

Bendera ya taifa visiwani Zanzibar
Picha: DW/M. Khelef

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW