1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uchaguzi wa wabunge nchini Rwanda

12 Septemba 2008

Rwanda inajiandaa kwa uchaguzi wa wabunge uliopangwa kufanyika wiki mwanzoni mwa wiki ijayo.

Uchaguzi nchini Rwanda mwaka 2003Picha: AP

Kwa mujibu wa tume ya uchaguzi nchini humo maandalizi yote yako tayari na waangalizi wa kimataifa kutoka jumuiya ya Ulaya wanatarajiwa kushiriki katika zoezi hilo.Itakumbukwa kwamba Rwanda ilifanya uchaguzi wa kidemokrasia mwaka 2003 baada ya mauaji ya halaiki ya mwaka 1994.

Ili kupata picha kamili Thelma Mwadzaya amezungumza na mwandishi wetu wa Kigali Christopher Karenzi




Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW