1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
JamiiUfaransa

Ufaransa kupiga marufuku abaya katika shule za serikali

01:07

This browser does not support the video element.

4 Septemba 2023

Ufaransa inapanga kupiga marufuku wanafunzi wa shule kuvaa Abaya. Tangazo hilo lilitolewa na waziri wa elimu Gabriel Attal. Alisema dini ya mtu haitakiwi kutambulika kwa kutazama jinsi alivyoovaa.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW