1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ufukuaji wa makaburi Tanzania

01:56

This browser does not support the video element.

26 Machi 2018

Mchezo wa watu kufukua makaburi kwa lengo la kuchukuwa vitu vya thamani wanavyozikwa navyo marehemu pamoja na baadhi ya viungo vya marehemu hao unazidi kushika kasi katika baadhi ya maeneo Tanzania. Katika vidio hii, Ahmad Juma anaripoti kuhusu matukio yaliotokea Kipunguni Dar es Salaam.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW