"Ugaidi lisiwe suala kuu katika mjadala wa kisiasa"
Maja Dreyer20 Agosti 2007
Baada ya kuachiliwa huru Bibi mmoja wa Kijerumani aliyetekwa nyara nchini Afghanistan, wahariri wa magazeti ya hapa Ujerumani wanachambua hali ya maendeleo na siasa Afghanistan.