1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uganda: Matokeo ya kukatwa kwa ufadhili wa wakimbizi

02:15

This browser does not support the video element.

Hawa Bihoga
2 Oktoba 2023

Kukatwa kwa misaada ya wafadhili kumesababisha hali ngumu kwa wakimbizi na serikali nchini Uganda, shirika la mapango wa chakula la Umoja wa Mataifa unaonya kuwa endapo hatua za haraka hazitachukulia, huenda kukashuhudiwa janga la kibinadamu.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW