1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vitisho vya mara kwa mara

Emmanuel Lubega29 Aprili 2015

Nchini Uganda na Afrika mashariki, watu walio na ulemavu wa ngozi huishi maisha yenye changamoto nyingi tangu utotoni mwao. Lakini kadri wanavyokua, baadhi hujenga nia ya kujiamini kukabiliana na hali mbalimbali.

Jorge Agostinho Albino-Skater in Mosambik
Picha: Carlos Litulo

Mwandishi wetu wa Kampala Emmanuel Lubega amezungumza na walemavu wa ngozi wakiwemo makanga na muuguzi.

Kusikiliza ripoti yake, tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mhariri: Josephat Charo

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW