1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ugonjwa wa Kipindupindu wazuka kwenye gereza la Kenya

24 Novemba 2009

Nchini Kenya wafungwa 9 wamefariki kufuatia kuzuka kwa ugonjwa wa kipindupindu katika gereza kuu la Kamiti lililoko katika wilaya ya Kiambuu.

Wafungwa wengine 59 wanapokea matibabu baada ya kuambukizwa ugonjwa huo. Jane Nyingi amezungumza kwa njia ya simu na naibu kamishna wa magereza nchini Kenya David Macharia na anaanza kwa kueleza hali ilivyo...

Mahojiano:Jane Nyingi

Mpitiaji: Mohamed Abdul-Rahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi
Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW