Ugonjwa wa Kipindupindu wazuka kwenye gereza la Kenya
24 Novemba 2009Matangazo
Wafungwa wengine 59 wanapokea matibabu baada ya kuambukizwa ugonjwa huo. Jane Nyingi amezungumza kwa njia ya simu na naibu kamishna wa magereza nchini Kenya David Macharia na anaanza kwa kueleza hali ilivyo...
Mahojiano:Jane Nyingi
Mpitiaji: Mohamed Abdul-Rahman