1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uhuru wa kujieleza kupitia makatuni

03:07

This browser does not support the video element.

Mohammed Khelef12 Agosti 2015

Hamidou Zoetabi ni mchoraji katuni kwenye magazeti ya Burkina Faso anayeamini juu ya uhuru na mchango wa wachoraji katika kuiumba upya fikra ya kizazi cha Waburkinabe, hasa katika wakati ambapo taifa hilo linajizaa upya baada ya utawala wa kidikteta kuangushwa kwa mapinduzi ya umma.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW