SiasaUhusiano wa Malkia Elizabeth II na Afrika01:44This browser does not support the video element.SiasaSaumu Njama09.09.20229 Septemba 2022Malkia Elizabeth II alikuwa na uhusiano maalum na Afrika. Alifikisha umri wa miaka 21 katika ziara ya Afrika Kusini na alikuwa nchini Kenya wakati babake alipofariki alichukua kiti cha ufalme. Kama mfalme wa Uingereza, alifanya ziara nyingi Afrika.Nakili kiunganishiMatangazo