1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujerumani, Kenya zatetea kuimarishwa UN

02:21

This browser does not support the video element.

Saleh Mwanamilongo
22 Januari 2026

Mawaziri wa mambo ya nje wa Ujerumani na Kenya wameweka wazi msimamo wao kuhusu umuhimu wa kuimarisha Umoja wa Mataifa kama nguzo kuu ya usimamizi wa amani na utatuzi wa migogoro duniani, wakati kukiwa na wasiwasi unaotokana na taarifa kwamba Rais wa Marekani Donald Trump anapanga kuanzisha chombo kipya cha kimataifa kitakachoshughulikia masuala ya amani.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi Ujerumani

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW