1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujerumani kupima corona wasafiri wote

01:04

This browser does not support the video element.

5 Agosti 2021

Wizara ya afya ya Ujerumani kuanzisha vipimo vya corona kwa wasafiri wote bila kujali wanatoka wapi na vyombo vya usafiri wanavyotumia. Hatua hiyo ni katika juhudi za kupambana na kirusi cha corona cha Delta.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW