1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujerumani yachukua urais wa kupokezana wa Umoja wa UIaya

01:11

This browser does not support the video element.

1 Julai 2020

Chini ya uongozi wa Kansela Angela Merkel, Ujerumani itashikilia wadhifa huo kwa muda wa miezi sita. Ujerumani itakuwa na jukumu la kuandaa na kusimamia mikutano baina ya wakuu wa serikali wa Umoja wa Ulaya na mawaziri, chini ya kauli mbiu ya “Pamoja kwa mustakabli wa Ulaya.”

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW