1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ujerumani yakubali kuyatambua mauaji ya kimbari ya Namibia

01:39

This browser does not support the video element.

28 Mei 2021

Hatimaye Ujerumani imetangaza kuyatambuwa mauaji ya kimbari wakati ikiitawala Namibia na kuahidi kutoa fidia yenye thamani ya euro bilioni moja kwa ajili ya miradi ya maendeleo katika taifa hilo la kusini magharibi mwa Afrika. Kurunzi 28.05.2021.