Ukeketaji wa wanawake ni uvunjaji wa haki za binaadamu
30 Novemba 2011![Kampeni ya kupinga ukeketaji dhidi ya wanawake.](https://static.dw.com/image/15423114_800.webp)
Matangazo
Salma Said anazungumzia mila ya ukeketaji wanawake katika makabila na imani tafauti za kidini, ingawa anahoji kwamba mila hiyo si sehemu ya dini yoyote ile ulimwenguni.
Makala: Salma Said
Mhariri: Othman Miraji