Shirika la mpango wa chakula la Umoja wa Mataifa WFP limesema hali ya watu walioko kwenye za Kaskazini mwa Uganda huenda ikawa mbaya kutokana na ukosefu wa chakula.
Watu wakisubiri kupatiwa chakula na Shirika la Mpango wa Chakula WFPPicha: AP
Matangazo
Mwandishi wetu Omar Mutasa kutoka Kampala ametuletea ripoti zaidi.