1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ukuaji wa uchumi wa Tanzania

01:59

This browser does not support the video element.

Grace Kabogo
17 Januari 2022

Tanzania imefanikiwa kukuza sekta yake ya uchumi kutoka dola milioni 64 hadi dola milioni 779, huku wastani wa dola bilioni tatu zikitarajiwa ifikapo mwaka 2025. Pamoja na hayo, Tanzania bado ina wasiwasi kuhusu mabadiliko ya hali ya hewa ambayo yanavuruga azma yake kubwa katika kilimo.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW