1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Umma unasemaje kuhusu safari za viongozi nje ya nchi?

02:42

This browser does not support the video element.

Veronica Natalis
4 Juni 2024

Kumekuwa na mijadala kila wakati kuhusu safari za nje zinazofanywa na viongozi wa kisiasa wa mataifa ya Afrika. Na yote hayo yanatokana na swali moja kubwa, je, safari hizo zinaleta manufaa kwa nchi zao kweli au ni nafasi tu ya wao kwenda kujivinjari? Tumewauliza wakaazi wa Arusha, kaskazini mwa Tanzania.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW