SiasaUmoja wa Mataifa kupigia kura azimio kusitisha mzozo wa Syria00:56This browser does not support the video element.SiasaLilian Mtono23.02.201823 Februari 2018Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa Ijumaa hii linapigia kura rasimu ya azimio linalohimiza mpango wa kusitisha mapigano kwa siku 30 nchini Syria ili kuruhusu misaada ya kiutu.Nakili kiunganishiMatangazo