1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Umoja wa Mataifa wachunguza mauaji DRC

30 Julai 2020

Watu 15 wameripotiwa kuuawa na wengine wapatao 205 hawajulikani walipo kufuatia shambulizi la kikabila wilayani Mwenga. Ujumbe wa kulinda amani wa UN (Monusco) na serikali ya mkoa wa Kivu Kusini wametembelea wilaya hiyo.

DR Kongo UN-Soldaten in Djugu-Territorium | Ituri-Provinz nach Unruhen
Picha: AFP/S. Tounsi

J2.30.07.2020 DRC: Kipupu residents seek redress after tribal attack that killed - MP3-Stereo

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW