SiasaUmoja wa Mataifa wataka kusitishwa mapigano Syria01:26This browser does not support the video element.SiasaLilian Mtono26.02.201826 Februari 2018Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ametaka utekelezwaji wa haraka wa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu kusimamishwa mapigano kwa siku 30 nchini Syria, lililofikiwa Jumamosi iliyopita. Nakili kiunganishiMatangazo