1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Umoja wa Ulaya kupunguza msaada wa jeshi Burundi

Elizabeth Shoo30 Machi 2016

Umoja wa Ulaya unatathmini kupunguza asilimia 20 ya msaada wake kwa wanajeshi wa Burundi katika kikosi cha AMISOM ili kuishinikiza serikali ya nchi hiyo ikubali kukaa kwenye meza ya majadiliano.

Mkuu wa majeshi Burundi Prime Niyongabo
Picha: AMISOM

[No title]

This browser does not support the audio element.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW