1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Umuhimu wa elimu ya ufundi Tanzania

03:12

This browser does not support the video element.

19 Januari 2021

Tatizo la uhaba wa nafasi za ajira kwa vijana linapoendelea kukumba nchi nyingi, swali linalowatatiza wengi ni njia gani bora kukuza elimu ya ufundi ili kutatua matatizo ya jamii. Lakini pia swali ni ikiwa vijana wanapenda kozi za ufundi au la. Kwenye video hii Veronica Natalis anaangazia umuhimu wa ufundi kushughulikia mahitaji ya jamii.