Mwenyekiti wa Umoja wa Mataifa anayeongoza uchunguzi kuhusu ghasia za Myanmar, Marzuki Darusman amesema mauaji ya kimbari bado yanaendelea nchini humo dhidi ya Waislamu wa Rohingya na amelitaka suala hilo lipelekwe katika mahakama ya uhalifu wa kimataifa.