1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Migogoro

UN: Suluhu ya mzozo wa Gaza ni mataifa mawili

03:19

This browser does not support the video element.

29 Julai 2025

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kwenye Mkutano wa Ngazi ya Juu wa Kimataifa kuhusu Usuluhishi wa Amani wa Suala la Palestina na Utekelezaji wa Suluhu ya Nchi Mbili za Israel na Palestina kwamba "Suluhu pekee ya kweli ya haki na endelevu katika mzozo wa Gaza ni mataifa mawili, Israel na Palestina.

Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW