1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

UN yataka hatua za haraka kukabili njaa Somalia

01:45

This browser does not support the video element.

8 Machi 2017

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ataka kuchukuliwa hatua za haraka kukabiliana na njaa katika nchi za Pembe ya Afrika, Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki, Mevlut Cavusoglu aikemea Ujerumani, China yatoa mwito kwa Korea Kaskazini kuacha shughuli zake za makombora na Bayern Munich yaitoa Arsenal ligi ya mabingwa Ulaya.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW