1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

UN yataka uchunguzi wa shambulizi la angani Yemen

00:54

This browser does not support the video element.

10 Agosti 2018

Watoto wana kosa gani, linapofikia suala la vita? Mbona wananyimwa haki zao za kusihi kwa amani na haki nyingnezo? Vidio hii inaonyesha madhila waliyoyapata watoto baada ya shambulizi la angani lililopiga basi walilokuwa wamepanda. Papo kwa Papo: 10.08.2018.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW