1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Unajua nini kuhusu hedhi?

04:25

This browser does not support the video element.

22 Novemba 2021

Hivi ni kwa nini jamii imekuwa ikiona aibu kuzungumza kwa uwazi masuala yanayphusu uzazi? Najua wengi watasema tamaduni zinawafunga mikono na kushindwa hata kuwaambia watoto ama wenza wao kuhusu masuala kama hayo. Kwa mfano unajua kila kilichopo kwenye mzunguko wa hedhi? uliwahi kuzungumza na nani kuhusu hedhi? uliridhika? Tizama video hii halafu unaiambie.