JamiiSudan
Jeshi laiteka maabara ya vijidudu vya magonjwa nchini Sudan
26 Aprili 2023![Sudan Khartum | Kämpfe zwischen Armee und RSF-Miliz | General Mohamed Hamdan Dagalo](https://static.dw.com/image/65385160_800.webp)
Matangazo
Hata hivyo haijulikani ni upande gani wa jeshi ulioiteka maabara hiyo.
Kituo hicho kina bakteria wa maradhi ya kipindupindu na vijidudu vingine vya magonjwa ya hatari kubwa.
Mwakilishi wa asasi ya WHOamewaambia waandishi wa habari kwamba wataalamu hawajaweza kufika kwenye maabara hiyo ili kudhibiti usalama.
Mwakilishi huyo Nima Saeed Abid amesema wanajeshi waliwatimua wataalamu na kutwaa udhibiti wa maabara na kuigeuza kuwa kambi ya kijeshi.