1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Upinzani Zimbabwe wapinga matokeo ya uchaguzi wa rais

01:49

This browser does not support the video element.

28 Agosti 2023

Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe cha Citizens Coalition for Change (CCC) kinachookozwa na Nelson Chamisa, kimetangaza msimamo wa kuyapinga matokeo ya uchaguzi, siku moja tu ya baada ya Tume ya Uchaguzi ya taifa hilo kumtangaza Rais Emmerson Mnangangwa kuwa mshindi wa uchaguzi huo uliofanyika Jumatano na Alhamisi wiki iliyopita.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW