1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Upishi wa karamu

02:47

This browser does not support the video element.

21 Agosti 2020

Upishi na ulaji karamu ni utamaduni maarufu uliozoeleka kwa Waswahili wa ukanda wa Pwani linalohusisha eneo kubwa la pwani ya Afrika Mashariki. Huwa unahusisha upishi wa majungu makubwa ya vyakula na baadae kugawiwa kwa wapita njia na waalikwa wa karamu kama sadaka.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW