Upungufu wa Vitamin A kwa watoto Tanzania
22 Julai 2014![Watoto nchini Tanzania ambako asilimia 35 kati yao wana upungufu wa Vitamin A.](https://static.dw.com/image/17794640_800.webp)
Matangazo
Katika makala hii ya Afya Yako, Diana Kago anaangalia kile kinachofanywa na Wizara ya Afya ya Tanzania katika kulikabili tatizo hili la ukosaji wa vitamini kwa watoto wadogo. Kusikiliza tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Mhariri: Mohammed Khelef