Urusi imeendeleza mfululizo wa mashambulizi ya makombora katika miji mbalimbali kote nchini Ukraine ukiwemo mji mkuu Kiev. Mkuu mpya wa shirika la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa Volker Turk amesema muendelezo wa machafuko hayo unawatia wasiwasi mkubwa. #Kurunzi