1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Urusi yaendelea kushambulia miji ya Ukraine kwa makombora

01:44

This browser does not support the video element.

17 Oktoba 2022

Urusi imeendeleza mfululizo wa mashambulizi ya makombora katika miji mbalimbali kote nchini Ukraine ukiwemo mji mkuu Kiev. Mkuu mpya wa shirika la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa Volker Turk amesema muendelezo wa machafuko hayo unawatia wasiwasi mkubwa. #Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW