1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Urusi yafanya luteka kubwa za kijeshi Belarus huku mzozo wa Ukraine ukizidi kushika kasi

01:49

This browser does not support the video element.

Daniel Gakuba
11 Februari 2022

Wakati mvutano ukiendelea baina yake na nchi za magharibi kuhusu usalama wa Ukraine, Urusi inafanya mazoezi makali ya kijeshi katika taifa jirani na mshirika wake, Belarus. NATO na Ukraine wanasema mazoezi hayo ni kitisho kwa usalama wa Ulaya, shutuma zinazokanushwa na Urusi. #Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW