1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaUrusi

Urusi yalaumiwa kwa kifo cha mkuu wa Wagner

01:24

This browser does not support the video element.

24 Agosti 2023

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema leo kwamba taifa lake halihusiki kwa namna yoyote na taarifa za kifo cha mkuu wa kundi la mamluki la Wagner, Yevgeny Prigozhin, katika ajali ya ndege na badala yake amenyoosha kidole cha lawama kwa Urusi. Hata hivyo, Ikulu ya Kremlin na wizara wa ulinzi ya Urusi zimeendelea kuwa kimya.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW