Usalama Lamu mashakani
4 Oktoba 2011
Matangazo
Thelma Mwadzaya amezungumza na mwandishi wetu wa Mombasa, Eric Ponda, kuhusiana na hali ilivyo sasa kisiwani Lamu, ambako inasemekana baadhi ya watalii wameanza kuondoka.
Mahojíano: Thelma Mwadzaya/Eric Ponya
Mhariri: Othman Miraji