Usalama wa bahari unatajwa kuwa mashakani kutokana na shughuli za kibinadamu zinazohatarisha uhai wa viumbe baharini kuendelea kushuhudiwa katika mataifa mengi ulimwenguni hatua inayowatoa hadharani wataalamu wa mazingira na kutoa wito wa harakla kunusu uhai chini ya maji. Vidio na Hawa Bihoga #kurunzi