ushairi na Mashairi ni mojawapo ya tamaduni ya waswahili.
John Juma1 Aprili 2016
Idadi ya mashairi ya Kiswahili yanayochapishwa yanazidi kupungua. Malenga wa mashairi ya arudhi pia wamepungua. Changamoto zinazokumba fani hii ni zipi? John Juma anashirikisha wataalamu kuelezea hali inayokumba mashairi
Matangazo
Ili kusikiliza, bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.