1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Miaka 25 ya Putin madarakani na ushawishi wa Urusi Afrika

02:17

This browser does not support the video element.

9 Agosti 2024

Miaka 25 ya utawala wa Vladimir Putin nchini Urusi imeshuhudia kutanuka kwa ushawishi wake barani Afrika. Baada ya kipindi fulani cha kudumaa, mahusiano kati ya Afrika na Urusi yamebadili mwelekeo, na Moscow imejipatia nafasi kwenye mioyo ya waafrika wengi.

Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki

Zaidi kutoka kipindi hiki

Onesha zaidi
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW