1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ushindi kwa wahafidhina Morocco

9 Septemba 2007

RABAT:

Chama cha kihafidhina nchini Morocco kimeshinda uchaguzi wa Bunge kwa muujibu wa matokeo yaliotangazwa leo na wwzara wa ndani.Chama hicho kimejipatia viti 52.hii ni viti 5 zaidi kuliko chama cha Haki na maendeleo cha kiislamu ambacho wengi wakitazamia kingenyakua sehemu kubwa ya viti.Chama cha kijamaa kilijipatia viti 36 tu kutoka viti vyake 50 hapo kabla.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW