1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

UTAH:hakuna matumaini ya uhai kwa wachimba migodi sita;

20 Agosti 2007

Habari kutoka jimbo la Utah Marekani zinasema hakuna matumaini ya kuokoa maisha ya wafanyakazi sita wa mgodi walionaswa zaidi ya mita 457 chini ya mgodi .