UTAH:hakuna matumaini ya uhai kwa wachimba migodi sita;20.08.200720 Agosti 2007Nakili kiunganishiMatangazoHabari kutoka jimbo la Utah Marekani zinasema hakuna matumaini ya kuokoa maisha ya wafanyakazi sita wa mgodi walionaswa zaidi ya mita 457 chini ya mgodi .