1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Utamaduni

Utamaduni wa kula kwenye sahani au sinia moja

02:52

This browser does not support the video element.

17 Aprili 2020

Baadhi ya jamii za Tanzania zinaamini kuwa utamaduni wa kula pamoja kwenye sahani au sinia moja, unawafundisha watoto upendo na nidhamu wakati wa kula. Si kula pekee bali watu wote huketi kwenye jamvi au mkeka mmoja wanapokula. Je hali ni vipi kuhusu utamaduni huo, katika kipindi hiki cha janga la corona? Salma Mkalibala anasimulia

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW