1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Utamaduni wa milio ya mijeledi yarejea tena Bavaria

01:06

This browser does not support the video element.

5 Machi 2020

Goaßlschnalzen au mlio wa mjeledi ni utamaduni wa watu wa jimbola Bavaria Kusini Mashariki mwa Ujerumani. Zamani waongozaji wa matwana ya farasi walitumia milio hiyo kuashiria ujio wao katika eneo hilo. Zaidi Tazama video hii. #Kurunzi

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW