1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Uwanasoka bora bila kusaliti utamaduni

04:54

This browser does not support the video element.

17 Septemba 2021

Baadhi ya wazazi wamekuwa wakipinga watoto wao wa kike kuingia katika mchezo wa soka kwa hoja kwamba ni kinyume na utamaduni, licha ya kuwa baadhi yao wana ndoto ya kuwa wanasoka bora Afrika. Fuatilia video hii ya Msichana Jasiri, ambapo mwanahabari chipukizi Hadija Halifa anazungumza na wasichana wa Zanzibar.

Ruka sehemu inayofuata Taarifa kuu ya DW

Taarifa kuu ya DW

Ruka sehemu inayofuata Taarifa zaidi kutoka DW